Habari za Punde

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mh Othman awasili ofisini kuanza majukumu

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mh Othman Masoud Othman akivishwa shada la maua wakati akiwasili Ofisini kwake leo kwa ajili ya kuanza rasmi majukumu yake ya Umakamu

Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar wakimkaribisha Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mh Othman Masoud Othman wakati alipowasili  Ofisini kwake Migombani leo kwa ajili ya kuanza rasmi majukumu yake ya Umakamu
 
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mh Othman Masoud Othman akipata maelezo kutoka kwa mmoja wa watendaji wa ofisini kwake  alipowasili  Ofisini kwake leo kwa ajili ya kuanza rasmi majukumu yake ya Umakamu. Anayeangalia ni Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Mhe Saada Mkuya Salum
aMakamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mh Othman Masoud Othman akizungumza na Watendaji wa ofisi yake baada ya kuanza rasmi majukumu yake leo.

Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais ipo Migombani , Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.