RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwasili katika viwanja vya Hospitali ya
Mnazi Mmoja kuwatembelea na kuwajulia hali Waandishi wa habari wa Ofisi ya Makamu
wa Pili wa Rais, waliopata ajali wakiwa katika msafara wa ziara katika Mkoa wa
Kusini Unguja na (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed
Suleiman Abdulla na (kushoto kwa Rais) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu
Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimjulia hali Mwandishi wa habari wa
Makamu wa Pili wa Rais Ndg. Kassim Abdi, na kupata maelezo kutoka kwa Daktari Amour
Suleiman alipofika Hospitali ya Mnazi mmoja kuwatembelea na kuwajulia hali majeruhi
wa ajali hiyo iliotokea katika maeneo la Kitongani Mkoa wa Kusini Unguja wakiwa
katika ziara ya kizazi na (kushoto kwa
Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla na (kulia
kwa Rais) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena
Ahmed Said.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimjulia hali Mpiga Picha wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Bw.Hassan Issa, alipofika Hospitali ya Mnazi Mmoja kuwatembelea na kuwajulia hali majeruhi wa ajali hiyo iliotokea katika eneo la Kitogani Mkoa wa Kusini Unguja wakiwa katika msafara wa Makamu wa Pili wa Rais. na (kulia kwa Rais) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman AbdullaRAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimjulia hali Mpiga Picha wa Ofisi ya
Makamu wa Pili wa Rais, Bw.Hassan Issa, alipofika Hospitali ya Mnazi Mmoja
kuwatembelea na kuwajulia hali majeruhi wa ajali hiyo iliotokea katika eneo la
Kitogani Mkoa wa Kusini Unguja wakiwa katika msafara wa Makamu wa Pili wa Rais.
na (kulia kwa Rais) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi
Mhandisi Zena Ahmed Said na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed
Suleiman Abdulla
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiondoka katika viwanja vya hospitali ya
Mnazi Mmoja baada ya kumaliza kuwakagua na kuwapa pole Waandishi wa habari wa
Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, waliopata ajali katika eneo la Kitogani wakiwa
katika msafara wa ziara katika Mkoa wa Kusini Unguja, akiwa na Waziri wa Afya
Ustawi wa Jamii Wazee Jinsia na Watoto Zanzibar Mhe.Nassor Ahmed Mazrui na (kushoto kwa Rais)
Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said.
No comments:
Post a Comment