Habari za Punde

Zantel yazindua ‘Pasua Anga Ki Zantel 4G’ kuwaelimisha wateja juu ya umuhimu wa mtandao wa 4G

Mkuu wa kitengo cha biashara wa Zantel, Aneth Muga akicheza mchezo wa Foosball pamoja na Mohammed Waziri mmoja wa wananchi waliofika katika uzinduzi wa kampeni ya ‘Pasua Anga Ki Zantel 4G’ uliofanyika katika viwanja vya Kisonge Unguja.Kampeni hiyo imelenga kuwaelimisha wateja juu ya umuhimu wa mtandaowa 4G katika kujiletea maendeleo ya kijamii na kiuchumi.

Mkuu wa kitengo cha biashara wa Zantel, Aneth Muga pamoja na Issa Chapu wakicheza mchezo wa kikapu (Table tennis) wakati wa uzinduzi wa kampeni ya ‘Pasua Anga Ki Zantel 4G’ uliofanyika katika viwanja vya Kisonge Unguja-Zanzibar.Kampeni hiyo imelenga kuwaelimisha wateja juu ya umuhimu wa mtandaowa 4G katika kujiletea maendeleo ya kijamii na kiuchumi.

Katika uzinduzi uliofanyika viwanja vya kisonge, ulihusisha shughuli mbalimbali ikiwamo michezo ya foosball, tebal tennis, pool table huku washindi wakiibuka na vifurushi vya intaneti ya 4G vya wiki pamoja na zawadi mbalimbali

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.