Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula wakati Waziri Mulamula alipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu Chamwino Jijini Dodoma
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, a kizungumza na Mkuu wa Itifaki CP Balozi Yusuf Mndolwa Tindi wakati Waziri Mulamula alipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu Chamwino Jijini Dodoma leo April 23,2021. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
No comments:
Post a Comment