Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Alhadi Mussa akipika fatha kabla ya kuaza kwa Kisoma Maalum kumsomea Hayati Rais wa Kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Abeid Amani Karume kilichofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar leo 7-4-2021.
REA Yagawa Majiko na Mitungi ya Gesi kwa Watumishi wa Magereza Kagera
Kuunga Mkono Matumizi ya Nishati Safi
-
Na Diana Byera, Bukoba
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wamezindua zoezi la kugawa majiko na
mitungi ya gesi 486 kwa watumishi wote wa magereza nane za m...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment