Habari za Punde

Waziri Jafo Atinga Ofisini Baada ya Kuapishwa Ikulu Chamwini Jijini Dodoma jana. na Kuahidi Kuhakikisha Changamoto za Muungano Zilizosalia Zinapatiwa Ufumbuzi

Sehemu ya Menejiemnti ya Ofisi ya Makamu wa Rais na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) wakiwa wamejipanga kuwa subiri mawaziri wa Ofisi hiyo walioapishwa Ikulu jijini Dodoma

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)Mhe. Selemani Said Jafo na Naibu Waziri wa Ofisi hiyo Mhe. Hamad Hassan Chande wakiwasili katika Ofisi za Makamu wa Rais Mtumba jijini Dodoma mara baada ya kuapishwa na Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan Ikulu ya Chamwino Aprili mosi, 2021.







Waziri waNchiOfisiyaMakamuwaRais(MuunganonaMazingira)Mhe. Selemani Said JafoamesemaatahakikishachangamotozaMuunganozilisosaliazinapatiwaufumbuzi.

AmeyasemahayohiileomarabaadayakuwasilikatikaOfisiyaMakamuwaRaisnakukutananaMenejimentiyaOfisiyakenaBaraza la Taifa la HifadhinaUsimamiziwaMazingiranchini.

"Nashukurukwamapokezimazuri, ilatuchapekazitunahitajikupatamatokeochanyakwakazitunazosimamiayaaniMuunganonaMazingira" Jafoalisisitiza.

Kwa upandemwingineNaibu Waziri OfisiyaMakamuwaRaisMhe. Hamad ChandeamesisitizaushirikianobainayawatumishikatikakuhakikishamalengoyakudumishaMuunganonakusimamiaMazingirayanatekelezeka.

AkiwasilishataarifayaOfisiyakeKatibuMkuuOfisiyaMakamuwaRaisMhandisi Joseph MalongoamewahakikishiaushirikianoMawazirinakuwakaribishakwaniabayawatumishiwenzake.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.