Habari za Punde

Jamii ya Wazanzibari yatakiwa Kuacha Tabia ya Muhali na Kuripoti Matukio ya Vitendo vya Udhalilishaji Katika Vyombo vya Sheria.

 

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Viongozi wa CCM wa Mkoa wa Mjini Kichama wakati wa ziara yake kutowa shukrani zake kwa Viongozi hao, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa CCM Mkoa Amaan Jijini Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameitaka jamii ya Wazanzibar kuacha tabia ya ''muhali'' na kuripoti matukio ya vitendo vya udhalilishaji katika vyombo vya sheria huku akilitaka jeshi la Polisi kuacha kufanya usuluhishi wa matukio hayo.

Akizungumza na wananchi pamoja na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi wa Mkoa wa Mjini Kichama  hapo Makao Makuu ya Chama hicho Mkoa Amani, katika ziara ya kuwashukuru, alisema bado hajaridhishwa na utendaji wa jeshi la Polisi katika kushughulikia kesi za udhalilishaji wa kijinsia.

Rais Dk. Mwinyi ambaye pia, ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) alisema yapo malalamiko kutoka kwa jamii kwamba jeshi la Polisi limekuwa likifanya upatanishi wa kusuluhisha wa kesi hizo katika vituo vya Polisi na kumalizana kienyeji.

Alifahamisha hizo sio kazi za jeshi la Polisi kwa mujibu wa sheria  ambapo wanatakiwa kuhakikisha wanatayarisha kesi kwa kufanya upelelezi na kuzipeleka mbele kwa hatua nyengine.

Hivyo, Rais Dk. Mwinyi alitumia fursa hiyo kuwapongeza Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa kufanya marekebisho mazuri katika sheria za udhalilishaji ambapo mtuhumiwa wa makosa hayo atakuwa akinyimwa  dhamana.

''Nilikutananaviongoziwajeshi la Polisi,mkurugenziwamashtaka pamoja namahakamanakuwatakawakutanenakuwekautaratibumzuriutakaohakikishakesihizozinasikilizwaharakailijamiiiondokanenamalalamiko''alisema.

 

Rais Dk. Mwinyi aliwapongeza Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa kufanya marekebisho mazuri katika sheria ya udhalilishaji ambapo mtuhumiwa wa makosa hayo atakuwa akinyimwa  dhamana.

 

''Nimemtaka jaji mkuu sheria itekelezwe kwa wanaofanya vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia kwanza wanyimwe dhamana huku shauri lao likiendelea''alisisitiza Dk.Mwinyi.

 

Aidha, Rais Dk. Mwinyialiwaelezawananchinawanachamawachama cha CCM MkoawaMjinikwambakatikakipindi cha miezisitayauongozi wake amefanikiwakujengamisingiyamaridhianoyakisiasayaserikaliyaumojawakitaifa.

 

Alisemakuwepokwaserikaliyaumojawakitaifakumefunguwamilangoyamaelewanoyaakisiasanakijamiinakuondokananachukihukuzikiwemo  kilaainayadalilizamatumainiyenyekheri.

 

AliwajulishawananchikwambamaandaliziyaujenziwabandarizakisasayenyeurefuwakilomitasitahukoMangapwaninaBumbwiniupokatikahatuazamwishoambaonisehemuyamatarajiomakubwayakutengenezaajiranyingi.

 

''Hapawananchinawanachamawengiwamezungumziasuala la serikalikuajirivijanawaliomalizamasomoyao...sikweliserikalihaiwezikuajirivijanawotehaolakinitunatengenezamazingirayaajirakwakujengamiundombinuyabandarinaviwanda''alisema.

 

Rais Dk. MwinyialielezanamaSerikaliyakeinavyokusudiakutafutaeneombadalakwaajiliyakuwashughulikia wale walioathirikanadawazakulevyakwanikatikaeneo la HospitaliyaKidongochekundumazingirayakehayaridhishi.

 

Alielezahatuazitakazochukuliwakatikakuhakikishawazeewanaangaliwakatikasualazima la penchenizao pamoja nahudumawanazostahikizikiwemohudumazaafya.

 

NaeNaibuKatibuMkuuwa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Zanzibar,AballaJumaMabodialiwatakawatendajiwachamahichowakiwemoMakatibukujipangakwaajiliyakutekelezaIlaniya Chama hichokwakufuatiliaahadizotezaSerikalikatikakipindi cha kampenizauchaguzimkuu.

 

''Nawatakawatendajiwachamasasamjipangevizurikufanyakazizenuikiwemokuifuatiliaserikaliutendaji wake unaotokananaahadikatikakipindi cha uchaguzimkuu''alisema.

 

Mabodialikikeatabiayabaadhiyawanachamawachamahichoyakuanzakampenizauchaguziwachamahichokablayamudakufikahapomwakani.

 

Katikarisalayaoviongozihaowa CCM waMkoawaMjiniwalielezamafanikioya Chama hichowaliyoyapatakatikauchaguziuliopitasambambanakumpongezaRais Dk. Mwinyikwajuhudizakezauongozi pamoja nakumpongezakwakulivalianjugasuala la waathirikawa “Masterlife” ambalolimewaathiriwananchiwengiambaoniwakaaziwaMjini.

 

MapemaRais Dk. MwinyialiwapanafasiviongozihaonawanaCCMyakuzungumzapamoja nakuelezachangamotozinazowakabilihukuwakitumiafursahiyokwakupambananaufisadinaubadhirifuwamaliyaumma.

 

Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar

Postal Address: 2422 Tel.:0777427449. Fax: 024 2231822 

 E-mail: rajabmkasaba@yahoo.co.uk

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.