RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa kipazia akiweka Jiwe la Msingi
la Ufunguzi wa Masjid Taqwa Bambi Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja na (kushoto
kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe Rashid Hadidi Rashid na Sheikh
Fesal msimamizi wa ujenzi wa Msikiti huo, ufunguzi huo umefanyika kabla ya Sala
ya Ijumaa leo 28-5-2021
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuufungua rasmin Masjid
Taqwa Bambi Wilaya ya Kati Unguja baada ya kukamilika ujenzi wake na (kushoto
kwa Rais) Msimamizi wa ujenzi wa msikiti huo Sheikh Fesal na (kulia kwa Rais)
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja.Mhe Rashid Hadidi Rashid, ufunguzi huo umefanyika
kabla ya Sala ya Ijumaa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuufungua rasmin Masjid
Taqwa Bambi Wilaya ya Kati Unguja baada ya kukamilika ujenzi wake na (kushoto
kwa Rais) Msimamizi wa ujenzi wa msikiti huo Sheikh Fesal na (kulia kwa Rais)
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja.Mhe Rashid Hadidi Rashid, ufunguzi huo umefanyika
kabla ya Sala ya Ijumaa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wananchi wa Mkoa wa Kusini
Unguja baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa na ufunguzi wa Masjid Taqwa Bambi
Wilaya ya Kati Unguja, na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria
Utumishi wa Umma na Utawala Bora Zanzibar.Mhe.Haroun Ali Suleiman na Makamu wa
Pili wa Rais Mstaaf Alhaj Balozi Seif Ali Iddi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wananchi wa
Mkoa wa Kusini Unguja wakati wa hafla ya ufunguzi wa Masjid Taqwa Bambi Wilaya
ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja, hafla hiyo imefanyika
WAUMINI wa Dini ya Kiislam wakimsikiliza Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali
Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na kutowa nasaha zake kwa Wananchi wa Bambi
wakati wa hafla ya ufunguzi wa Masjid Taqwa Bambi Wilaya ya Kati Unguja
WAUMINI wa Dini ya Kiislam wakimsikiliza Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali
Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na kutowa nasaha zake kwa Wananchi wa Bambi
wakati wa hafla ya ufunguzi wa Masjid Taqwa Bambi Wilaya ya Kati Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Naibu Kadhi
Mkuu wa Zanzibar Sheikh Hassan Othman Ngwali (hayupo pichani) na (kushoto kwa
Rais) Makamu wa Pili wa Rais Mstaaf Alhaj Balozi Seif Ali Iddi na Waziri wa
Nchi Ofisi ya Rais Sheria,Katiba na Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.
Haroun Ali Suleiman na (kulia kwa Rais) Msimamizi wa Ujenzi wa Msikiti
huo.Sheikh.Fesal na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe.Rashid Hadidi Rashid
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Wananchi baada
ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa na ufunguzi wa Masjid Taqwa Bambi Wilaya ya
Kati Unguja
No comments:
Post a Comment