Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisalimiana naMsaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN)
na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala
ya Wanawake UN WomenDkt. Phumzile Mlambo Ngcuka mara baada ya kuwasili
Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 28 Mei, 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Msaidizi
waKatibu Mkuu wa Umoja wa
Mataifa (UN) na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa
linaloshughulikia masuala ya Wanawake UN WomenDkt. Phumzile Mlambo Ngcuka mara baada ya kuwasili
Ikulu Jijini Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Msaidizi waKatibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Wanawake UN WomenDkt. Phumzile Mlambo Ngcuka mara baada ya mazungumzo yao Ikulu leo
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment