KATIBU Mkuu Wizara ya
Habari Vijana Utamaduni na Michezo Fatma Hamad Rajab, akifungumza wakati wa
ufunguzi wa mkutano wa wadau wa huduma za uchapaji na vifaa vya ofisini na
kuandikia, ulioandaliwa na wakala wa uchapaji wa serikali Zanzibar huko Gombani
Pemba
KATIBU Mkuu Wizara ya
Habari Vijana Utamaduni na Michezo Fatma Hamad Rajab, akifungumza wakati wa
ufunguzi wa mkutano wa wadau wa huduma za uchapaji na vifaa vya ofisini na
kuandikia, ulioandaliwa na wakala wa uchapaji wa serikali Zanzibar huko Gombani
Pemba
BAADHI ya watendaji
kutoka taasisi mbali mbali za serikali Kisiwani Pemba, wakifuatilia kwa makini
ufunguzi wa mkutano wa wadau wa huduma za uchapaji na vifaa vya Ofisini na
kuandika, uliondaliwa na wakala wa uchapaji wa serikali Zanzibar na kufanyika
Gombani Pemba
KAIMU Mkurugenbzi wa
ZGP Salum Khamis Rashid akiwasilisha mada ya uanzishwaji na uwezo wa kisheria
wa ZGP, katika mkutano na wadau wa huduma za uchapaji na vifaa vya Ofisini na
kuandika, uliondaliwa na wakala wa uchapaji wa serikali Zanzibar na kufanyika
Gombani Pemba
MKURUGENZI uhusiano kwa umma, masoko na Bohari kuu –ZGP Hannat
Mohamed Aboud, akiwasilisha mada juu ya huduma za bohari kuu ya vifaa vya ofisi
na kuandikia na taratibu za upatikanaji wa bidhaa, kwa wadau wa huduma za
uchapaji na vifaa vya Ofisini na kuandika, uliondaliwa na wakala wa uchapaji wa
serikali Zanzibar na kufanyika Gombani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment