Habari za Punde

Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa Afungua Kongamano la Kutambua Historia ya Tanzania Katika Ukombozi wa Baraza la Afrika.

 

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiongea wakati wa Ufunguzi wa  Kongamano  la Kutambua na Kuenzi Mchango Anuai wa Historia ya Tanzania katika Ukombozi wa Bara la Afrika na Kikao Kazi cha Maafisa Utamaduni na Michezo, katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere.

Washiriki wa Kongamano la Kutambua na Kuenzi Mchango Anuai wa Historia ya Tanzania katika Ukombozi wa Bara la Afrika, na Kikao Kazi cha Maafisa Utamaduni na Michezo wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambaye alikuwa mgeni rasmi katika kongamano hilo lililofanyika katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere. 
Washiriki wa Kongamano la Kutambua na Kuenzi Mchango Anuai wa Historia ya Tanzania katika Ukombozi wa Bara la Afrika, na Kikao Kazi cha Maafisa Utamaduni na Michezo wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambaye alikuwa mgeni rasmi katika kongamano hilo lililofanyika katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere 
Washiriki wa Kongamano la Kutambua na Kuenzi Mchango Anuai wa Historia ya Tanzania katika Ukombozi wa Bara la Afrika, na Kikao Kazi cha Maafisa Utamaduni na Michezo wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambaye alikuwa mgeni rasmi katika kongamano hilo lililofanyika katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Mei 21, 2021 Jijini Dar es Salaam.


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.