Ujumbe wa kampuni ya BIT MEDIA kutoka nchini Austria wakijadiliana jna Watendaji wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar hawapo pichani, juu ya fursa za Elimu na matumizi ya Teknolojia katika Skuli za Zanzibar, yaliyofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Elimu Mazizini Mjini Unguja.
na Maulid Yussuf WEMA
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Simai Mohammed Said pamoja na watendaji wa ICT wa Wizara yake wamefanya mkutano na ujumbe wa BIT MEDIA kutoka nchini Autria wakijadili juu ya fursa za Elimu na matumizi ya Teknolojia katika Skuli za Zanzibar, mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Wizara hiyo Mazizini Mjini Unguja.
Na Maulid Yussuf WEMA
No comments:
Post a Comment