Mchezaji wa zamani wa Timu za Soka Shangani na Small Simba na Mjumbe wa Kamati ya Nidhamu ya Ndg.Abdulkadir Tashi amejitokeza kuchukua Fomu ya kugombea nafasi ya Uongozi Chama Mpira wa Miguu Zanzibar ZFF. kuwania nafasi ya Urais, katika Uchaguzi Mkuu. akiwa na fomu yake baada ya leo katika Ofisi za ZFF Amaan Jijini Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais Z'bar Atoa Wito wa Kuulinda Muungano
-
Na Mwandishi Wetu
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla ametoa wito kwa
wananchi wa Tanzania kuendelea kuulinda Muungano.
Hayo ameyasem...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment