Mchezaji wa zamani wa Timu za Soka Shangani na Small Simba na Mjumbe wa Kamati ya Nidhamu ya Ndg.Abdulkadir Tashi amejitokeza kuchukua Fomu ya kugombea nafasi ya Uongozi Chama Mpira wa Miguu Zanzibar ZFF. kuwania nafasi ya Urais, katika Uchaguzi Mkuu. akiwa na fomu yake baada ya leo katika Ofisi za ZFF Amaan Jijini Zanzibar.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment