Mchezaji wa zamani wa Timu za Soka Shangani na Small Simba na Mjumbe wa Kamati ya Nidhamu ya Ndg.Abdulkadir Tashi amejitokeza kuchukua Fomu ya kugombea nafasi ya Uongozi Chama Mpira wa Miguu Zanzibar ZFF. kuwania nafasi ya Urais, katika Uchaguzi Mkuu. akiwa na fomu yake baada ya leo katika Ofisi za ZFF Amaan Jijini Zanzibar.
DKT. MPANGO AGUSWA NA JITIHADA ZA NBC KUCHOCHEA MAENDELEO SERIKALI ZA MITAA.
-
[*Arusha, Mei 29, 2023*] Makamu wa Rais Dkt. Phillip Mpango ameipongeza
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kuendelea kusaidia mamlaka za serikali
za mi...
3 minutes ago
No comments:
Post a Comment