Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimuapisha Balozi Batilda
Salha Burian kuwa Katibu Tawala mkoa wa Shinyanga.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimuapisha Rodrick Lazaro
Mpogolo kuwa Katibu Tawala mkoa wa Katavi
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimuapisha Dorothy Aidan
Mwaluko kuwa Katibu Tawala Singida.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimuapisha Dkt.
Athumani Juma Kihamia kuwa Katibu Tawala mkoa wa Arusha.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mwanaasha
Rajabu Tumbo kuwa Katibu Tawala mkoa wa Pwani
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimuapisha Ngusa
Dismas Samike kuwa Katibu Tawala mkoa wa Mwanza.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimuapisha Hassan Abasi Rugwa kuwa Katibu Tawala Mkoa wa
Dar es Salaam,
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimuapisha Musa Ramadhani Chogero kuwa Katibu Tawala
mkoa wa Geita,
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimuapisha Pili
Hassan Mnyema kuwa Katibu Tawala mkoa wa Tanga
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimuapisha Prisca
Joseph Kayombo kuwa Katibu Tawala mkoa wa Simiyu.
. Viongozi mbalimbali
walioapishwa pamoja na kuteuliwa katika nafasi mbalimbali wakila Kiapo cha
Uadilifu kwa Viongozi wa Umma mara baada ya tukio la Uapisho katika Ikulu ya
Chamwino mkoani Dodoma.
No comments:
Post a Comment