Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa
Dodoma Anthony Mtaka mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma
leo tarehe 1 June, 2021
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali
mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali
mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia
Suluhu Hassan akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili katika Uwanja
wa Ndege wa Dodoma leo tarehe 1 June, 2021
No comments:
Post a Comment