Habari za Punde

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip Isdor Mpango Ashiriki Misa ya Kumbukizi ya Hayati Benjamin William Mkapa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akiwasili kijijini Lupaso Wilaya ya Masasi kushiriki misa ya kumbukizi ya mwaka mmoja wa kifo cha Hayati Benjamin William Mkapa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akiwasili kijijini Lupaso Wilaya ya Masasi kushiriki misa ya kumbukizi ya mwaka mmoja wa kifo cha Hayati Benjamin William Mkapa.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango pamoja na Mkewe mama Mbonimpawe Mpango wakiweka shada la maua katika kaburi la Hayati Benjamin William Mkapa, kijijini Lupaso wilayani Masasi leo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango pamoja na Mkewe mama Mbonimpawe Mpango wakiweka shada la maua katika kaburi la Hayati Benjamin William Mkapa, kijijini Lupaso wilayani Masasi leo. 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akiwasili kijijini Lupaso Wilaya ya Masasi kushiriki misa ya kumbukizi ya mwaka mmoja wa kifo cha Hayati Benjamin William Mkapa
Makamu wa Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akizungumza na waumini waliohudhuria misa ya kumbukizi ya mwaka mmoja wa kifo cha Hayati Benjamin William Mkapa iliofanyika katika Kijiji cha Lupaso Wilaya ya Masasi

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akipanda mti nyumbani kwa Hayati Benjamin William Mkapa mara baada ya kukamilika kwa misa ya kumbukizi ya mwaka mmoja wa kifo cha Hayati Benjamin William Mkapa hafla hiyo imefanyika Kijijini kwao lupaso Wilayani Masaki. Julai 24,2021.

PICHA – OFISI YA MAKAMU WA RAIS.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.