RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa Serikali
alipowasili katika viwanja vya Ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni
Jijini Zanzibar,kuhudhuria ufunguzi wa Kongamano la Harakati za Kutokomeza
Vitendo vya Udhalilishaji Zanzibar Tulipotoka,Tulipo na Tunapokwenda,lililoandaliwa
na Jumuiya ya Wanasheria Wanawake Zanzibar (ZAFELA)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiuliza na kusisitiza jambo wakati
akitembelea maonesho ya bidhaa mbalimbali za Wajasiriamali wakati wa hafla ya
ufunguzi wa Kongamano la Harakati za Kutokomeza Vitendo vya Udhalilishaji
Zanzibar, lililoandaliwa na Jumuiya ya Wanasheria Wanawake Zanzibar (ZAFELA)
lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini
Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akimsikiliza Kiongozi wa Kikundi cha
Yataka Moyo cha Kajengwa Makunduchi Bi. Sinajambo Mkonde akitowa maelezo ya
bidhaa zinazozalishwa na kikundi hicho wakati alipotembelea mabanda ya maonesho
ya Wajasiriamali Wanawake Waliowezeshwa na (ZAFELA) wakati wa hafla ya ufunguzi
wa Kongamano la Harakati za Kutokomeza Vitendo vya Udhalilishaji Zanzibar,
lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini
Zanzibar na (kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa Jumuiya wa Wanasheria Wanawake
Zanzibar (ZAFELA) Bi. Safia Hija Abass
Bi.Lulu Ng’wanakilala CEO wa
“Legal Services Facility” akizungumza na kuwasil;isha salamu za Taasisi
yake wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Harakati za Kutokomeza Vitendo vya
Udhalilishaji Zanzibar, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil
Kikwajuni Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kulifungua Kongamanbo la
Harakati la Kutokomeza Vitendo vya Udhalilishaji Zanzibar,Tulipotoka,Tulipo na
Tunakokwenda, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdul Wakil
Kikwajuni Jijini Zanzibar, lililoandaliwa na Jumuiya na Wanasheria Wanawake
Zanzibar.(ZAFELA)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kulifungua Kongamanbo la
Harakati la Kutokomeza Vitendo vya Udhalilishaji Zanzibar,Tulipotoka,Tulipo na
Tunakokwenda, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdul Wakil
Kikwajuni Jijini Zanzibar, lililoandaliwa na Jumuiya na Wanasheria Wanawake
Zanzibar.(ZAFELA)
BAADHI ya Wageni waalikwa kutoka Taasisi
mbalimbali za Kijamii wakifuatiulia hutuba ya ufunguzi wa Kongamano la Harakati
za Kutokomeza Vitendo vya Udhalilishaji Zanzibar, wakati Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi(hayupo
pichani) akihutubia na kulifungua
Kongamano hilo lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil
Kikwajuni Jijini Zanzibar
BAADHI ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi
Zanzibar wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Kongamano la Harakati za Kotokomeza
Vitendo vya Udhalilishaji Zanzibar, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia na kulifungua katika ukumbi wa
Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar
BAADHI ya Wananchi wakifuatilia hutuba ya Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
(hayupo pichani) akihutubia na kulifungua Kongamano la Harakati za Kutokomeza
Vitendo vya Udhalilishaji Zanzibar lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa
Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizindua Mfumo wa upokeaji wa taarifa
sahihi za Udhalilishaji,wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Harakati za
Kotokomeza Vitendo vya Udhalilishaji Zanzibar, lililoandaliwa na Jumuiya ya
Wanasheria Wanawake Zanzibar.(ZAFELA) lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh
nIdrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.
No comments:
Post a Comment