WAZIRI wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar
Omar Said Shaabani (kulia), akiangalia karafuu gredi ya kwanza zilizohifadhiwa
ndani ya kopo, katika kituo cha ununuzi wa karafuu Madungu Chake Chake, wakati
wa ziara yake ya kuangalia changamoto za ununuzi wa karafuu kutoka kwa wakulima
baada ya shirika kuingia katika mfummo mpya wa malipo ya Kidigitali.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
WAZIRI wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar
Omar Said Shaaban, akisikiliza changamoto kutoka kwa mmoja ya wachukuzi wa
kituo cha ununuzi wa karafuu Madungu Chake Chake, wakati wa ziara yake ya
kuangalia changamoto za ununuzi wa karafuu kutoka kwa wakulima baada ya shirika
kuingia katika mfumo mpya wa malipo ya Kidigitali.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
WAZIRI wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar
Omar Said Shaaban, akizungumza na wakulima wa zao la Karafuu katika kituo cha ununuzi
wa zao hilo Madungu Chake Chake, baada ya kusikiliza changammoto zao, kufuatia
shirika kuingia katika mfumo mpya wa malipo ya Kidigitali.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
WAZIRI wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar
Omar Said Shaaban, akiangalia karafuu kavu kutoka kwa mkulima wa zao hilo Pemba
Mwanahawa Fadhil Mohamed, wakati wa ziara yake ya kuangalia changamoto za
ununuzi wa karafuu kutoka kwa wakulima baada ya shirika kuingia katika mfumo
mpya wa malipo ya Kidigitali.(PICHA NA
ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment