Habari za Punde

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali apokea msaada wa mikoba kutoka kwa Balozi Mdogo wa China nchini Tanzania


 Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Simai Mohammed Said akizungumza na Balozi Mdogo wa China nchini Tanzania bwana Zhang Zhisheng ofisini kwake Mazizini Mjini Unguja, wakati alipofika kwa ajili ya kukabidhi  msaada wa mikoba ya Skuli kwa ajili ya kuwapatia Wanafunzi.


Na Maulid Yussuf WEMA.

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Simai Mohammed Said akipokea msaada wa mikoba ya Skuli kutoka kwa Balozi Mdogo wa China nchini Tanzania bwana Zhang Zhisheng wakati akipofika ofisini kwake Mazizini Mjini Unguja, kwa lengo la kukabidhi mikoba hiyo kwa ajili ya kuwapatia Wanafunzi.

Na Maulid Yussuf WEMA

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.