Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Ndg. Aboud Hassan Mwinyi akikata utepe kuashiria kuzindua utumiaji wa Risiti za Kieletroniki katika huduma za kuingia na kupanda mapembea kwa kutumia risiti za Kieletroniki katika Uwanja wa Watoto Kariakoo Jijini Zanzibar , hafla hiyo imefanyika katika Kiwanja cha kufurahishia Watoto Kariakoo Jijini Zanzibar, na (kushoto kwake) Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar Ndg.Nassor Shaban Ameir .
Elimu : Tazama Hapa Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba 2025
-
Maktaba: Picha kwa Hisani ya Gadiola Emanuel - Hady Class 7 Mwaka 2017
Bofya Hapa Kutazama Matokeo
MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA (PSLE) 2025
Wazal...
3 hours ago


No comments:
Post a Comment