Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Ndg. Aboud Hassan Mwinyi akikata utepe kuashiria kuzindua utumiaji wa Risiti za Kieletroniki katika huduma za kuingia na kupanda mapembea kwa kutumia risiti za Kieletroniki katika Uwanja wa Watoto Kariakoo Jijini Zanzibar , hafla hiyo imefanyika katika Kiwanja cha kufurahishia Watoto Kariakoo Jijini Zanzibar, na (kushoto kwake) Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar Ndg.Nassor Shaban Ameir .
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment