Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Ndg. Aboud Hassan Mwinyi akikata utepe kuashiria kuzindua utumiaji wa Risiti za Kieletroniki katika huduma za kuingia na kupanda mapembea kwa kutumia risiti za Kieletroniki katika Uwanja wa Watoto Kariakoo Jijini Zanzibar , hafla hiyo imefanyika katika Kiwanja cha kufurahishia Watoto Kariakoo Jijini Zanzibar, na (kushoto kwake) Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar Ndg.Nassor Shaban Ameir .
TFS WAJIVUNIA MIAKA MITATU YA UONGOZI WA RAIS SAMIA, WATAJA MAFANIKIO
LUKUKI YALIYOPATIKANA
-
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania(TFS)umesema katika kipindi cha miaka
mitatu ya uongozi wa Rais Dk.Samia Suluhu Hassan...
34 minutes ago
No comments:
Post a Comment