Habari za Punde

Mbunge wa Viti Maalum Mhe.Mary Masanja Akabidhi Msaada Kwa Shule ya Msingi Itumbili Halmashauri ya Wilaya ya Magu.

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mwanza, Mhe. Mary Masanja  akikabidhi pikipiki na kompyuta kwa Jumuiya ya  UWT Wilaya ya Magu katika ziara yake iliofanyika Ofisi ya CCM Wilaya ya Magu.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mwanza, Mhe. Mary Masanja akikabidhi msaada wa vyakula na mahitaji mbalimbali kwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Itumbili, Rhobiry Chacha(kushoto) ikiwa ni msaada kwa ajili ya Wanafunzi wenye mahitaji maalum alipotembelea shule hiyo jana iliyo katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu .
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mwanza, Mhe. Mary Masanja akiwa katika picha ya pamoja na Wanafunzi wa Shule ya Msingi Itumbili wenye mahitaji maalum alipotembelea shule hiyo na kukabidhi mahitaji mbalimbali jana  katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu .

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mwanza, Mhe. Mary Masanja akiwa katika picha ya pamoja na Wanafunzi wa Shule ya Msingi Itumbili wenye mahitaji maalum alipotembelea shule hiyo na kukabidhi mahitaji mbalimbali jana  katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu . 

Picha na Happy Shayo.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.