Wilaya ya Micheweni Kepteni Mohammed Mussa Seif, akiwasilikia Wananchi wa Kijiji cha Maziwang'ombe Wilaya ya micheweni Pemba wakiwailisha kero zao, wakati wakizungumza na Mkuu wa Wilaya alipofika kuwatembelea na kupata changamoto zao.
MADEREVA WA MAGARI WAELIMISHWA KUHUSU USALAMA WA BARABARANI
-
Na Albert Kawogo
MADEREVA wanaotumia barabara ya Bagamoyo kuelekea mikoa ya kaskazini ya
Tanzania wametakiwa kuwa makini katika kufuata sheria za usalama...
8 minutes ago
No comments:
Post a Comment