Mwakilishi wa Viti Maalum kupitia nafasi za watu wenye ulemavu mhe Mwantatu Mbarak Khamis akimkabidhi fedha taslim shilingi milioni mbili katibu wa Jumuiya ya wanawake wenye ulemavu Zanzibar [JUWAUZA] Mwandawa Khamis Mohammed kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za jumuiya hiyo
Benki ya CRDB Yashinda Tuzo ya Dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji Katika
Jamii Kupitia CRDB Bank Marathon
-
Benki ya CRDB imeshinda tuzo ya dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji katika
Jamii (International CSR Awards 2025) kupitia mbio zake za kimataifa ya
CRDB BANK...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment