Mwakilishi wa Viti Maalum kupitia nafasi za watu wenye ulemavu mhe Mwantatu Mbarak Khamis akimkabidhi fedha taslim shilingi milioni mbili katibu wa Jumuiya ya wanawake wenye ulemavu Zanzibar [JUWAUZA] Mwandawa Khamis Mohammed kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za jumuiya hiyo
SHIRIKA LA ELIMU KIBAHA LAANZA KUTOA MAFUNZO KWA VYUO VINGINE MKOANI PWANI
-
Shirika la Elimu Kibaha (KEC) limepokea wanafunzi wapya 46 kutoka katika
Chuo cha Biashara Kibaha (KIB) kwa ajili ya kuwapatia mafunzo ya kozi za
muda mfup...
3 minutes ago
No comments:
Post a Comment