Mwakilishi wa Viti Maalum kupitia nafasi za watu wenye ulemavu mhe Mwantatu Mbarak Khamis akimkabidhi fedha taslim shilingi milioni mbili katibu wa Jumuiya ya wanawake wenye ulemavu Zanzibar [JUWAUZA] Mwandawa Khamis Mohammed kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za jumuiya hiyo
RC MJEMA AZINDUA MEDALI, JEZI & NAMBA MBIO ZA SHINYANGA MADINI MARATHON
-
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Sophia Mjema, akizungumza jambo wakati akizindua
Medali, Jezi na Namba za washiriki Shinyanga Madini Marathon. Picha na
Kadama M...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment