Msaidizi
wa Rais (Mnikulu) Bw. Said Ali Juma akikabidhi Mbuzi, Mafuta ya kupikia pamoja
na Mchele kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia
Suluhu Hassan, kwenye Kituo cha Nyumba ya Amani na Furaha (Missionaries of
Charity Mother Teresa Children’s Home) kilichopo Mburahati Jijini Dar es
Salaam kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya leo tarehe
23 Desemba, 2021.
Msaidizi
wa Rais (Mnikulu) Bw. Said Ali Juma akikabidhi Mbuzi, Mafuta ya kupikia pamoja
na Mchele kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia
Suluhu Hassan, kwenye Kituo cha Nyumba ya Amani na Furaha (Missionaries of
Charity Mother Teresa Children’s Home) kilichopo Mburahati Jijini Dar es
Salaam kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya leo tarehe
23 Desemba, 2021.
Msaidizi
wa Rais (Mnikulu) Bw. Said Ali Juma akikabidhi Maziwa, sabuni pamoja na pampers
za watoto kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia
Suluhu Hassan, kwa Mlezi wa Kituo cha Kulea Watoto wanaoishi katika Mazingira
Hatarishi Sister Stella Selugenge leo tarehe 23 Desemba, 2021. PICHA
NA IKULU
No comments:
Post a Comment