Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais mhe Dkt Sada Mkuya Salum akiwasilisha Mswada wa Sheria ya kuanzisha Mamlaka ya kupambana na Dawa za Kulevya, kazi, Majukumu yake na mambo mengine yanayohusiana na hayo katika Mkutano wa Tano wa Baraza la kumi la Wawakilishi .
Mwenyekiti wa Kamati ya kusimamia Ofisi za Viongozi wakuu wa Kitaifa mhe Hassan Khamis Hafidh akisoma hotuba ya kamati kuhusu Mswada wa Sheria ya kuanzisha Mamlaka ya kupambana na Dawa za Kulevya, kazi, Majukumu yake na mambo mengine yanayohusiana na hayo katika Mkutano wa Tano wa Baraza la kumi la Wawakilishi
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment