Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais mhe Dkt Sada Mkuya Salum akiwasilisha Mswada wa Sheria ya kuanzisha Mamlaka ya kupambana na Dawa za Kulevya, kazi, Majukumu yake na mambo mengine yanayohusiana na hayo katika Mkutano wa Tano wa Baraza la kumi la Wawakilishi .
Mwenyekiti wa Kamati ya kusimamia Ofisi za Viongozi wakuu wa Kitaifa mhe Hassan Khamis Hafidh akisoma hotuba ya kamati kuhusu Mswada wa Sheria ya kuanzisha Mamlaka ya kupambana na Dawa za Kulevya, kazi, Majukumu yake na mambo mengine yanayohusiana na hayo katika Mkutano wa Tano wa Baraza la kumi la Wawakilishi
MAWAKALA WA MILKI NCHINI WATAKIWA KUJISAJILI
-
Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA
Mawakala wa Milki nchini wametakiwa kujisajili katika mfumo wa Wizara ya
Ardhi ili kuingia kwenye mfumo rasmi utakao...
53 minutes ago
No comments:
Post a Comment