Mwenyekiti wa Kamati ya Biashara Kilimo na
Utalii ya Baraza la Wawakilishi Mhe Yussuf Hassan Iddi akikagua
trekta la kilimo wakati Kamati hiyo ilipofanya ziara katika Wakala wa Serikali
wa Huduma za Matrekta na Zana za Kilimo Kisiwani Pemba.
Wakulima wa Ngano Wilayani Monduli Walilia Soko la Jumla la zao hilo.
-
Na Jane Edward, Arusha
Wakulima wa zao la ngano wilayani Monduli, mkoa wa Arusha, wameiomba
serikali iwasaidie kuwatafutia soko la jumla ili waweze kunufa...
45 minutes ago
No comments:
Post a Comment