Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Samwel Malecela alipomtembelea kumjulia hali Nyumbani kwake Kilimani Jijini Dodoma leo tarehe 15 Januari 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu Mzee Mizengo Pinda alipomtembelea kumjulia hali Nyumbani kwake Zuzu Mkoani Dodoma leo tarehe 15 Januari 2022
VIGOGO CWT WAHUKUMIWA MIEZI SITA GEREZANI WAAMRIWA KURUDISHA ZAIDI YA MILIONI 13
-
NA KARAMA KENYUNKO MICHUZI TV
KATIBU wa zamani wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Deus Seif, na Mtunza
Hazina Abubakar Allawi, wamehukukiwa kutumikia k...
20 minutes ago
No comments:
Post a Comment