Habari za Punde

Dk Shein aongoza kikao (Maalum) cha kamati Maalum ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein Akiongoza kikao (Maalum) cha kamati Maalum ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa kilichofanyika leo Jumapili tarehe 16 Januari, 2022 Afisi Kuu CCM Kisiwandui.

Baadhi ya wajumbe wa  kamati Maalum ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa wakipitia dondoo za kikao cha kamati hiyo kilichoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein 
Baadhi ya wajumbe wa  kamati Maalum ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa wakipitia dondoo za kikao cha kamati hiyo kilichoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein 
Baadhi ya wajumbe wa  kamati Maalum ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa wakipitia dondoo za kikao cha kamati hiyo kilichoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein 
Naibu Katibu Mkuu wa CCm Dr Abdullah Mabodi akisoma risala kabla ya kumkaribisha Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein kukiongoza kikao (Maalum) cha kamati Maalum ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa kilichofanyika leo Jumapili tarehe 16 Januari, 2022 Afisi Kuu CCM Kisiwandui.

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.