RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Sheikh. Mahadhi Mahadhi Abdalla, baada ya kumalizika kwa Sala ya kuusalia mwili wa Marehemu Said Bakari Jecha aliyewahi kuwa Waziri wa SMZ, maziko hayo yaliyofanyika Kijijini kwao Fumba na (kulia kwa Rais) Sheikh.Khamis Mussa na Mume wa Rais wa Tanzania Mhe Khafidh Ameir.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiweka mchanga katika kaburi la Marehemu Said Bakari Jecha aliyewahi kuwa Waziri wa SMZ, maziko hayo yamefanyika Kijijini kwao Fumba Wilaya ya Magharibi “B” Unguja.(Picha Ikulu)
RAIS Mstaaf wa Zanzibar Alhaj Dkt.Amani Karume akiweka mchanga katika kaburi la Marehemu Said Bakari Jecha aliyewahi kuwa Waziri wa SMZ, maziko hayo yamefanyika Kijijini kwao Fumba Wilaya ya Magharibi “B” Unguja.(Picha Ikulu)
SHEIKH Said Ali Talib akisoma dua baada ya kumalizika kwa maziko ya Marehemu Said Bakari Jecha yaliyofanyika Kijijini kwao Fumba Wilaya ya Magharibi “B” Unguja.(Picha na Ikulu)
Kapinga Azindua Kituo Mama cha Gesi Asilia Iliyoshiindiliwa (CNG) Jijini
Dar es Salaam
-
Na.Teresia Mhagama
*Ni cha Pili kwa ukubwa barani Afrika; Cha Kwanza kwa ukubwa EAC
*Kujaza Gesi Asilia kwenye magari 1200 kwa siku
*Ampongeza Dkt. Samia k...
6 minutes ago
No comments:
Post a Comment