BIASHARA ya Kitoeleo aina ya Kamba imekua ni moja ya biashara muhimu kwa vijana katika kipindi, pichani mmoja ya wanunuzi wa kamba akiwapanga katika mfuko wake baada ya kununua kutoka kwa mvuvi, wakati kilo moja huuzwa kati ya 8000/= hadi 10000 na hutegemea na aina ya kamba wenyewe huko katika bandari ya Tumbe.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
DC MOYO AMUOKOA DIWANI WA CCM MIKONONI MWA WANANCHI ILOLO MPYA IRINGA
-
Aliyesimama mi Diwani wa kata ya Ilolo Mpya Fundi Mihayo akijibu hoja za
wananchi mbele ya mkuu wa wilaya ya Iringa Mohamed Hassan Moyo wakati wa
mku...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment