BIASHARA ya Kitoeleo aina ya Kamba imekua ni moja ya biashara muhimu kwa vijana katika kipindi, pichani mmoja ya wanunuzi wa kamba akiwapanga katika mfuko wake baada ya kununua kutoka kwa mvuvi, wakati kilo moja huuzwa kati ya 8000/= hadi 10000 na hutegemea na aina ya kamba wenyewe huko katika bandari ya Tumbe.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
CCM BADO TUPO SANA ,TUNAYO AJENDA YA KUDUMU KUWATUMIKIA WATANZANIA-WASIRA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Geita
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira ameeleza
Chama hicho ni cha kudumu kwasababu kimekabidhiwa ...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment