BIASHARA ya Kitoeleo aina ya Kamba imekua ni moja ya biashara muhimu kwa vijana katika kipindi, pichani mmoja ya wanunuzi wa kamba akiwapanga katika mfuko wake baada ya kununua kutoka kwa mvuvi, wakati kilo moja huuzwa kati ya 8000/= hadi 10000 na hutegemea na aina ya kamba wenyewe huko katika bandari ya Tumbe.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
SACP NGOLE AKAGUA MIFUMO YA KIUSALAMA KATIKA MGODI WA ANGLO - SONGWE.
-
Mkuu wa Kitengo cha Usalama wa Miundombinu Muhimu Kamishna Msaidizi
Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Ngole kutoka Makao Makuu ya Polisi
Dodoma amekagua ...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment