Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Wabunge, nje ya jengo la Utawala Bungeni jijini Dodoma, Februari 2, 2022. Kutoka kushoto ni Mbunge wa Handeni, Reuben Kwagilwa na Mbunge wa Mahenge Salim Hasham. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu, Pindi Chana, Bungeni jijini Dodoma, Februari 2, 2022.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Mnauye, Bungeni jijini Dodoma, Februari 2, 2022.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment