Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Wazee wa Zanzibar waliofika katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Karume kabla ya kuondoka na kuelekea nchini Ufaransa leo 09 Februari, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango pamoja na Rais wa Zanzibar Mhe. Husein Ali Mwinyi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Karume Zanzibar kabla ya kuondoka kuelekea Nchini Ufaransa leo tarehe 09 Februari, 2022.
UMUHIMU WA MALEZI BORA KWA WATOTO
-
Sajenti Emmanuel Kisiri ambae ni polisi kata wa kata ya Ikoma Wilaya ya
Serengeti Mkoani Mara ameendelea kuihimiza jamii kulinda maadili ya watoto
Akiendel...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment