Habari za Punde

Mafunzo kwa waandishi wa habari juu ya kuzuia maambukizo ya VVU kutoka kwa Mama kwenda kwa Mtoto

MRATIB wa Tume ya Ukimwi Pemba Ali Mbarouk Omar, akizungumza wakati wa mafunzo ya waandishi wa habari juu ya kuzuwia maambukizo ya VVU kutoka kwa Mama kwenda kwa Mtoto, mafunzo yalioandaliwa na Shirika la Amref Health Africa Tanzania kupitia mradi wa Afya Kamilifu.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MKURUGENZI Mtendaji wa Tume ya Ukimwi Zanzibar (ZAC) Dk. Ahmed Mohamed Khatib, akifungua mafunzo ya siku moja kwa waandishi wa habari Pemba, juu ya kuzuwia maambukizo ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa Mtoto, mafunzo yalioandaliwa na Shirika la Amref Health Africa Tanzania kupitia mradi wa Afya Kamilifu.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MKURUGENZI Mtendaji wa Tume ya Ukimwi Zanzibar (ZAC) Dk. Ahmed Mohamed Khatib, akifungua mafunzo ya siku moja kwa waandishi wa habari Pemba, juu ya kuzuwia maambukizo ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa Mtoto, mafunzo yalioandaliwa na Shirika la Amref Health Africa Tanzania kupitia mradi wa Afya Kamilifu.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

AFISA kutoka Tume ya Ukimwi Zanzibar Sihaba Haji Saadat, akitoa ufafanuzi wa jambo katika Mafunzo ya siku moja kwa waandishi wa habari Pemba, juu ya kuzuwia Maambukizo ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa Matoto, mafunzo yalioandaliwa na Shirika la Amref Health Africa Tanzania kupitia mradi wa Afya Kamilifu.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)


WAANDISHI wa Habari za Mitandaoni kushoto ni Mgeni Kombo kutoka Mtandao wa Habari Potral na Kulia ni Zuhura Juma kutoka Pemba today, wakijadiliana jambo wakati wa kazi za Vikundi, wakati wa Mafunzo juu ya kuzuwia Maambukizo ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa Matoto, mafunzo yalioandaliwa na Shirika la Amref Health Africa Tanzania kupitia mradi wa Afya Kamilifu.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MWAANDISHI wa Habari kutoka Radio jamii Micheweni Time Khamis Miwnyi, akitoa maelekezo juu ya Vipindi vya Redio alivyovifanya kutokana na mafunzo yaliyopita, wakati wa mafunzo juu ya kuzuwia Maambukizo ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa Matoto, mafunzo yalioandaliwa na Shirika la Amref Health Africa Tanzania kupitia mradi wa Afya Kamilifu.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

WAANDISHI wa Habari kutoka Vyombo mbali mbali vya Habari Pemba, wakifuatilia mafunzo ya siku moja juu ya kuzuwia maambukizo ya VVU kutoka kwa Mama Kwenda kwa Mtoto, mafunzo yalioandaliwa na Shirika la Amref Health Africa Tanzania kupitia mradi wa Afya Kamilifu.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MWAANDISHI wa Habari na Mpiga picha kutoka ZENJ TV Pemba Ishak Mohamed Rubea, akichangia swali katika kundi la waandishi wa TV wakati mafunzo juu ya kuzuwia Maambukizo ya VVU kutoka kwa Mama kwenda kwa Mtoto, mafunzo yalioandaliwa na Shirika la Amref Health Africa Tanzania kupitia mradi wa Afya Kamilifu.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.