Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akishiriki
Mkutano wa 19 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)
uliofanyika kwa njia ya Mtandao, Ikulu Chamwino Jijini Dodoma leo tarehe 29
Machi, 2022.
WANAWAKE MARAFIKI WA SAMIA 'FRIENDS OF SAMIA' KUTOKA MIKOA MBALIMBALI WAJUMUIKA CHAKULA CHA PAMOJA MGAWAHA WA SHISHI FOOD JIJINI DAR,WATOA NENO
-
Wanawake marafiki wa Samia (Friends Of Samia) kutoka Mikoa mbalimbali hapa
nchini, wamejumuika kupata mlo wa Pamoja katika Mgahawa wa Shishi (Shishi
Foo...
9 minutes ago
No comments:
Post a Comment