Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia ( Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Balozi. Dkt. Pindi Chana akiongoza kikao cha kujadili Bajeti ya Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya katika (DCEA) kaika Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Ngome Jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia ( Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Balozi. Dkt. Pindi Chana akiongoza kikao cha kujadili Bajeti ya Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya katika (DCEA) kaika Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Ngome Jijini Dodoma.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu ( Sera, Bunge na Uratibu) Bw. Kaspar Mmuya (wa kwanza kulia) akieleza jambo katika kikao hicho na (katikati) ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Mhe. Balozi. Dkt. Pindi Chana na anayefuata ni Naibu Waziri wake Mhe. Mhe. Ummy Nderiananga kikao kilichofanyika Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Ngome Jijini Dodoma.
Baadhi ya washiriki waliohudhuria kikao cha kujadili Bajeti ya Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) wakifuatilia kikao hicho katika Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Ngome Jijini Dodoma.
Baadhi ya washiriki waliohudhuria kikao cha kujadili Bajeti ya Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) wakifuatilia kikao hicho katika Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Ngome Jijini Dodoma.
(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
(SERA, BUNGE NA URATIBU)
No comments:
Post a Comment