Habari za Punde

Wanafunzi Skuli ya Sekondari Chumbuni wapatiwa mafunzo ya maadili

Afisa kutoka Tume ya maadili ya viongozi wa Umma Halima Jumbe akiwasilisha mada ya  maadili  Kwa wanafunzi wa skuli ya Sekondari Chumbuni wakati wa mkutano maalum wa utoaji wa elimu ya maadili Kwa wanafunzi wa Skuli mbalimbali,uliyoandaliwa na Tume ya maadili ya viongozi wa Umma Zanzibar,elimu ya maadili imetolewa Kwa wanafunzi wa Skuli mbalimbali katika wilaya Tatu za Unguja.

Mwanafunzi kutoka Skuli ya Sekondari Chumbuni Asia Abdi Mussa akichangia mada ya maadili wakati wa Utoaji  wa elimu ya maadili Kwa wanafunzi wa Skuli hiyo,elimu ya maadili imetolewa na Tume ya maadili ya Viongozi wa Umma Zanzibar kwa wanafunzi wa Skuli mbalimbali za Wilaya Tatu za Unguja
Mwanafunzi kutoka Skuli ya Sekondari Chimbuni Salha Nassor Ali  ameiomba Serikali kuweka adhabu Kali Kwa viongozi wanaokiuka maadili wakati wa mkutano maalum wa  Utoaji wa elimu ya maadili Kwa wanafunzi ,uliyoandaliwa na Tume ya maadili ya Viongozi wa Umma Zanzibar.

Afisa kutoka tume ya maadili ya Viongozi wa Umma Zanzibar  Sheha Juma Kheri akichukua michango pamoja na ushauri  kutoka kwa Wanafunzi wa Skuli ya Chumbuni mara baada ya wanafunzi hao  kupatiwa elimu ya maadili kutoka kwa maafisa wa Tume ya maadili ya Umma Zanzibar,hafla iliyofanyika katika Skuli ya Sekondari Chumbuni Wilaya ya Magharibi “A”

 

Mwanafunzi kutoka Skuli ya Sekondari Chumbuni Rahma Mzee Amour akichangia mada ya maadili wakati wa mkutano maalum wa  Utoaji wa elimu juu ya maadili uliyoandaliwa na Tume ya maadili ya Viongozi wa Umma Zanzibar.
Mwanafunzi kutoka Skuli ya Sekondari Chumbuni Zuwena Mwinshehe Mohammed akichangia mada ya maadili wakati wa mkutano maalum wa  Utoaji wa elimu ya maadili Kwa wanafunzi ulioandaliwa na Tume ya maadili ya Viongozi wa Umma Zanzibar,hafla iliyofanyika Skuli ya Chumbuni Wilaya ya Magharibi "A"
Mwanafunzi kutoka Skuli ya Sekondari Chumbuni Salma Ali Said akichangia mada katika mkutano maalum wa  Utoaji wa elimu ya maadili kwa wanafunzi wa Skuli mbalimbali ulioandaliwa na Tume ya maadili ya Viongozi wa Umma Zanzibar,hafla iliyofanyika Skuli ya Chumbuni Zanzibar .


 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.