Habari za Punde

Micheweni Kisiwani Pemba Watakiwa Kukamilisha Mradi wa Mazingira kwa Wakati.

Naibu Katibu Mkuu (Muungano) Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Abdallah Hassan Mitawi na Katibu Mkuu Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais Bw. Thabit Idarous Faina pamoja na watendaji wao wakiwa katika ziara ya kukagua ukarabati wa tuta la kuzuia majichumvi kwenye Bonde la mpunga la Ukere Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kusini, Pemba unaotekelezwa kupitia Mradi wa Urejeshaji Ardhi iliyoharibika na kuongeza Usalama wa Chakula (LDFS).

Naibu Katibu Mkuu (Muungano) Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Abdallah Hassan Mitawi na Katibu Mkuu Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais Bw. Thabit Idarous Faina pamoja na watendaji wao wakiwa katika ziara ya kukagua ukarabati wa tuta la kuzuia majichumvi kwenye Bonde la mpunga la Ukere Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kusini, Pemba unaotekelezwa kupitia Mradi wa Urejeshaji Ardhi iliyoharibika na kuongeza Usalama wa Chakula (LDFS).

Sehemu ya tuta la kuzuia majichumvi kutoka baharini kuingia katika Bonde la mpunga la Ukere Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kusini, Pemba ambalo ni miongoni mwa matuta yanayokarabatiwa kupitia Mradi wa Urejeshaji Ardhi iliyoharibika na kuongeza Usalama wa Chakula (LDFS).

(PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS)

1 comment:

  1. Waandishi wa maajabu hata micheni hamjui ipoo mkoa wa kaskazini pemba? Aibu kubwaa hii

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.