RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi
akisalimiana na Viongozi wa Serikali na Dini baada ya kuwasili katika Masjid
Jamiu Zinjibar Mazizini Unguja kuhudhuria Sala ya Eid El-Fitry baada ya kumalizika
kwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Sala hiyo iliyofanyika katika Masjid
hiyo.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiwasili katika viwanja vya Masjid
Jamiu Zinjibar Mazizini Unguja Jijini Zanzibar kwa ajili ya kujumuika na Wananchi katika Sala Eid El-Fitry na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe Idrisa Mustafa Kitwana.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar. Alhaj Othman Masoud Othman akisalimiana na Viongozi wa Serikali na Dini baada ya kuwasili katika Masjid
Jamiu Zinjibar Mazizini Unguja kuhudhuria Sala ya Eid Fitry baada ya kumalizika
kwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Sala hiyo iliyofanyika katika Masjid
hiyo
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.Mhe.Hemed Suleiman Abdulla akisalimiana na Viongozi wa Serikali na Dini baada ya kuwasili katika Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Unguja kuhudhuria Sala ya Eid Fitry baada ya kumalizika kwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Sala hiyo iliyofanyika katika Masjid hiyo.
Waumini wa Dini ya Kiislam Zanzibar wakiwasili katika viwanja vya Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Jijini Zanzibar kudhudhuria Sala ya Eid El Fitry baada ya kumaliza mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani wakiungana na Waislam Duniani kusherehekea Sikukuu ya Eid El Fitry.RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi
akijumuika na Waumini wa Dini ya Kiislam katika Sala ya Eid Fitry iliyofanyika
leo asubuhi katika Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Unguja Jijini Zanzibar, baada
ya kumalizika kwa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani, (kulia kwa Rais) Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utwala Bora Mhe. Haroun Ali Suleiman,
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe.Othman Masoud Othman, Makamu wa Pili
wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, Makamu wa Rais Mstaafu Mhe.
Mohammed Gharib Bilal, Spika wa Baraza
la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zuberi Ali Maulid na Kaimu Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe.Khamis Ramadhan Shaban.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi
akifuatilia hutuba ya Sala ya Eid Fitry baada ya kumalizika kwa Sala ikisomwa
na Katibu Mtendaji Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Khalim Ali Mfaume. Na
(kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala
Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman na (kushoto kwa Rais) Mufti Mkuu wa
Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi
akifuatilia hutuba ya Sala ya Eid Fitry baada ya kumalizika kwa Sala ikisomwa
na Katibu Mtendaji Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Khalim Ali Mfaume. Na
(kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala
Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman na (kushoto kwa Rais) Mufti Mkuu wa
Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi.
Balozi Mdogo wa Oman anayefanyia kazi zake Zanzibar akijumuika na Viongozi na Wananchi wa Zanzibar katika Sala ya Eid El Fitry iliyofanyika katika Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Unguja wakifuatilia hutuba ya Sala ya Eid El Fitry ikisomwa na Katibu Mtendaji wa Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khalid Ali Mfaume.
WANANCHI
wa Zanzibar wakihudhuria katika Sala ya Eid Fitry katika viwanja vya Masjid
Jamiu Zinjibar Mazizini Unguja Jijini Zanzibar leo 3-4-2022,iliyofanyika
Kitaifa katika msikiti huo, baada ya kumalizika kwa mfungo wa mwezi Mtukufu wa
Ramadhani
WANANCHI
wa Zanzibar wakihudhuria katika Sala ya Eid Fitry katika wa Masjid
Jamiu Zinjibar Mazizini Unguja Jijini Zanzibar leo 3-4-2022,iliyofanyika
Kitaifa katika msikiti huo, baada ya kumalizika kwa mfungo wa mwezi Mtukufu wa
Ramadhani
WANANCHI wa Zanzibar wakihudhuria katika Sala ya Eid Fitry katika wa Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Unguja Jijini Zanzibar leo 3-4-2022,iliyofanyika Kitaifa katika msikiti huo, baada ya kumalizika kwa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani.RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiitikia dua ikisomwa na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Mahmoud Mussa
Wadi.(hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa hutuba ya Sala ya Eid Fitry, na
(kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala
Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar
Mhe.Othman Masoud Othman na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed
Suleiman Abdulla na (kushoto kwa Rais)
Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiwa katika viwanja vya Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Unguja wakati ikipingwa
mizinga baada ya kumalizika kwa Sala ya Eid Fitry iliyofanyika katika Masjid
hiyo na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria, Utumishi
na Utawala Bora Mhe.Haroun Ali Suleiman na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi
Unguja Mhe. Idrisa Mustafa Kitwana na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Kwanza wa
Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman, Makamu wa Pili wa Rais wa
Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla.
Mwananchi wa Zanzibar wakiwa katika viwanja vya Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Unguja Jijini Zanzibar, baada ya kumalizika kwa Sala ya Eid El Fitry iliyofanyika katika Masjid hiyo.
Mwananchi wa Zanzibar akimsalimia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akiondoka katika viwanja vya Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Unguja Jijini Zanzibar, baada ya kumalizika kwa Sala ya Eid El Fitry iliyofanyika katika Masjid hiyo.
No comments:
Post a Comment