Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Amekutana na Kuzungumza na Vijana wa "Dream Team Explorers" Kutoka Nchini Oman.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Vijana wa “Dream Team Explorers” kutoka Nchini Oman ukingozwa na Ndg. Nassel Al-Salmi, walipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 13-5-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Kiongozi wa Ujumbe wa Vijana kutoka Nchini Oman wa “Dream Team Explorers” Ndg.Nassel Al Salmi, akimuonesha Bendera za Nchi ambazo wametemelea kwa kutumia Gari yao hiyo kila Nchi wanayofika na kubandika bendera katika gari yao kwa ajili ya kumbukumbu, wakiwa katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Vijana wa “Dream Team Explorers” kutoka Nchini Oman, baada ya kumaliza mazungimzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, wakiwa Tanzania kwa matembezi yao kutmbelea Nchini mbalimbali kwa kutumia gari yao hiyo
Picha na Ikulu.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.