Habari za Punde

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CC, Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.,Hussein Ali Mwinyi Ameshiriki Zoezi ya Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Tawi la CCM Kilimani na Wajumbe wa Tawi Hilo.

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa CCM na Mbunge wa Jimbo la Mpendae Zanzibar Mhe. Tofiq Salim Turky, alipowasili katika viwanja vya Tawi la Chama Cha Mapinduzi Kilimani kwa ajili ya kushiriki zoezi la upigaji wa Kura kumchagua Mwenyekiti wa Tawi la Kilimani na Wajumbe wake, uchaguzi huo uliofanyika leo 5-6-2022
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi ,wakimsikiliza mmoja wa Wagombea nafasi ya Mwenyekiti wa Tawi la Chama Cha Mapinduzi Kilimani, akijieleza na kuomba Kura, wakati wa Uchaguzi wa Tawi la CCM Kilimani uliofanyika leo 5-6-2022
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipiga Kura kumchagua Mwenyekiti wa CCM Tawi la Kilimani na Wajumbe wake, uchaguzi huo uliofanyika leo 5-6-2022, katika ukumbi wa Tawi hilo Kilimani Wilaya ya Mjini Unguja
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akipiga kura yake kumchagua Mwenyekiti wa Tawi la Chama Cha Mapinduzi Kilimani na Wajumbe wake, uchaguzi huo uliofanyika leo 5-6-2022, katika ukumbi wa Tawi hilo Kilimani Wilaya ya Mjini Unguja leo 5-6-2022
MWANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi Tawi la CCM Kilimani Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akipiga kura yake kumchagua Mwenyekiti wa Tawi la CCM Kilimani na Wajumbe wa Tawi, uchaguzi huo uliofanyika leo 5-6-2022 katika ukumbi wa Tawi hilo Kilimani Wilaya ya Mjini Unguja
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi Tawi la CCM Kilimani wakati wa zoezi la Uchaguzi kumchagua Mwenyekiti wa Tawi la CCM Kilimani na Wajumbe wa Tawi,  uchaguzi huo uliofanyika leo 5-6-2022 katika ukumbi wa Tawi hilo Kilimani Wilaya ya Mjini Unguja
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi Tawi la CCM Kilimani wakati wa zoezi la Uchaguzi kumchagua Mwenyekiti wa Tawi la CCM Kilimani na Wajumbe wa Tawi,  uchaguzi huo uliofanyika leo 5-6-2022 katika ukumbi wa Tawi hilo Kilimani Wilaya ya Mjini Unguja
BAADHI ya Viongozi wa CCM na Wajumbe wa Tawi la CCM Kilimani wakimshangilia na kupiga makofi wakati Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia na kuwasalimia Wajumbe wa Tawi la CCM Kilimani, baada ya kumaliza kupiga Kura yake kumchagua Mwenyekiti wa Tawi na Wajumbe wa Tawi la Chama Cha Mapinduzi Kilimani uchaguzi huo uliofanyika leo 5-6-2022 katika ukumbi wa Tawi hilo.
WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tawi la CCM Kilimani Wilaya ya Mjini  Unguja wakimsikiliza Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akiwasalimia na kuzungumza na Wananchama hao baada ya kumaliza kupiga kura yake kumchagua Mwenyekiti wa Tawi la CCM Kilimani na Wajumbe wake, uchaguzi huo uliofanyika leo 5-6-2022, katika ukumbi wa Tawi hilo
WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tawi la CCM Kilimani Wilaya ya Mjini  Unguja wakimsikiliza Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akiwasalimia na kuzungumza na Wananchama hao baada ya kumaliza kupiga kura yake kumchagua Mwenyekiti wa Tawi la CCM Kilimani na Wajumbe wake, uchaguzi huo uliofanyika leo 5-6-2022, katika ukumbi wa Tawi hilo
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasalimia na kuagana Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi baada ya kumaliza kupiga kura yake kumchangua Mwenyekiti wa Tawi la CCM Kilimani na Wajumbe wake, uchaguzi huo uliofanyika leo 5-6-2022, katika ukumbi wa CCM Kilimani Wilaya ya Mjini Unguja
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.