Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi (kulia) akizungumza na Ujumbe wa madaktari kutoka Jumuiya ya Korea National Turbaculosis Assosiation, inayoshuhulikia Maradhi ya Kifua Kikuu (TB), walipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo (wa tatu kulia) Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Dr.Kyung Manho .[Picha na Ikulu] 15/08/2022
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi (katikati) akimsikiliza Mwenyekiti wa Jumuiya ya Korea National Turbaculosis Assosiation, inayoshuhulikia Maradhi ya Kifua Kikuu (TB) Dr.Kyung Manho (kushoto) wakati wa mazungumza na Ujumbe huo leo walipofika Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 15/08/2022.
Mariam Ibrahim aungana na wanawake wa Pwani kufanya usafi Jimbo la Kibaha
Vijijini
-
Mgombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, leo Septemba
18 ameungana na Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Pwani katika zoezi la kufagia
viwa...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment