Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi (kulia) akizungumza na Ujumbe wa madaktari kutoka Jumuiya ya Korea National Turbaculosis Assosiation, inayoshuhulikia Maradhi ya Kifua Kikuu (TB), walipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo (wa tatu kulia) Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Dr.Kyung Manho .[Picha na Ikulu] 15/08/2022
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi (katikati) akimsikiliza Mwenyekiti wa Jumuiya ya Korea National Turbaculosis Assosiation, inayoshuhulikia Maradhi ya Kifua Kikuu (TB) Dr.Kyung Manho (kushoto) wakati wa mazungumza na Ujumbe huo leo walipofika Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 15/08/2022.
CCM YAITAKA SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WOTE WALIOTAJWA KWENYE RIPOTI YA CAG,TAKUKURU KUFUJA MALI ZA UMMA
-
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa
imeielekeza Serikali kuchukua hatua thabiti kwa wahusika wote waliobainika
kuhusika katika...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment