Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi Akiwasalimia Watoto wa Mtaa wa Kwa Boko Unguja Baada ya Sala ya Ijumaa.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Watoto baada ya kuwasalimia, baada ya Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Masjid Qubba Kwa Boko Wilaya ya Mjini Unguja leo 5-8-2022.


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.