Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza wakati akifungua mashindano ya michezo ya Shule za Sekondari na Msingi kwa Nchi za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha leo Septemba 18, 2022.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi mpira Paul Okumu ambaye ni Kipa wa timu ya soka ya Shule ya Sekondari Upili ya High Way jijini Nairobi Kenya wakati alipofungua mashindano ya Michezo ya Shule za Sekondari na Msingi kwa Nchi za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua timu ya soka ya Shule ya Sikondari Upili ya High Way jijini Nairobi Kenya wakati alipofungua mashindano ya michezo ya Shule za Sekondari na Msingi kwa Nchi za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua timu ya soka ya Shule ya sekondari Kiwila ya Tanzania wakati alipofungua mashindano ya michezo ya Shule za Sekondari na Msingi kwa Nchi za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
Baadhi ya washiriki wa mashindano ya michezo ya Shule za Sekondari na Msingi kwa Nchi za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha
Baadhi ya washiriki wa mashindano ya michezo ya Shule za Sekondari na Msingi kwa Nchi za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha
Baadhi ya washiriki wa mashindano ya michezo ya Shule za Sekondari na Msingi kwa Nchi za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha
Baadhi ya washirki wa mashindano ya michezo ya Shule za Sekondari na Msingi kwa Nchi za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakti alipozungumza kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment