Habari za Punde

Timu ya Netiboli ya Baraza la Wawakilishi Waibuka Mshindi Michuano ya Urafiki Mwema

Spika wa Baraza la Wawakilishi  Zanzibar akipokea  Kombe la ubingwa wa  mchezo wa Mpira wa Pete kutoka kwa Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Raya Issa Msellem walilolipata  katika mashindano yaliyofanyika  Jijini Arusha.
Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya ya Zanzibar {Zanzibar heroes}  Hemed Suleiman Moroko akipokea msaada wa vifaa vya michezo kutoka kwa Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Zubeir Ali Maulid vilivyotolewa na uongozi wa Klabu ya Michezo ya Baraza la Wawakilishi kwa ajili ya kujiandaa na michezo yake mbali mbali inayoikabili Timu hiyo .
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.