Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe. Lela Muhamed Mussa amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa India Nchini Tanzania bwana  Shabu K George  ofisini kwake Mazizini Unguja kwa lengo la kufanya mazungumzo juu ya  ufunguzi wa  Chuo cha Teklonogia kwa upande wa  Zanzibar


No comments:
Post a Comment