RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Bi.Dogo Iddi Mbarouk akizungumza na kutowa maelezo ya Jumuiya yao walipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha na kumpongeza Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, (kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)Taifa Ndg.Maganya Fadhil, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar leo 19-12-2022.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)Taifa. Ndg. Maganya Fadhil alipofika Ikulu Jijini Zanzibar na Uongozi wa Jumuiya hiyo kwa mazungumzo na kujitambulisha na kumpngeza Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 19-12-2022, na (kulia kwake) Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya (CCM) Taifa Bi.Dogo Iddi Mbarouk.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Uongozi wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ukiongozwa na Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Ndg. Maganya Fadhil (kulia kwa Rais) walipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha na kumpongeza Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 19-12-2022.(Picha na Ikulu)
KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA YAENDELEA KUTOA ELIMU NA HUDUMA
BURE KWA WANANCHI WA HALMASHAURI YA MADABA
-
Madaba_Ruvuma.
Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia imeendelea kuisaidia jamii
isiyo na uwezo wa kugharamia huduma za mawakili kwa kuhakikisha wana...
12 hours ago
No comments:
Post a Comment