Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiweka jiwe la msingi la ufunguzi wa Skuli ya
Msingi ya Kwale iliopo Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba leo tarehe 09
Januari 2023 ikiwa ni miongoni mwa shamrashamra za Miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu
ya Zanzibar.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akikata utepe kuashiria Ufunguzi wa Skuli ya
Msingi ya Kwale iliopo Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba leo tarehe 09
Januari 2023 ikiwa ni miongoni mwa shamrashamra za Miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu
ya Zanzibar.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akihutubia Viongozi, Wananchi wa Pemba pamoja na
Wanafunzi mara baada ya Ufunguzi rasmi wa Skuli ya Msingi ya Kwale iliopo
Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba leo tarehe 09 Januari 2023 ikiwa ni
miongoni mwa shamrashamra za Miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akipokea zawadi ya mfano wa mlango unaopatikana
Zanzibar kutoka kwa Waziri wa Elimu na
Mafunzo ya Amali wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Lela Muhammed Mussa mara
baada ya Ufunguzi rasmi wa Skuli ya Msingi ya Kwale iliopo Wilaya ya Chakechake
Mkoa wa Kusini Pemba leo tarehe 09 Januari 2023 ikiwa ni miongoni mwa
shamrashamra za Miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na viongozi
mbalimbali wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Serikali ya Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania mara baada ya Ufunguzi rasmi wa Skuli ya Msingi ya Kwale
iliopo Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba leo tarehe 09 Januari 2023
ikiwa ni miongoni mwa shamrashamra za Miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya
wanafunzi wa Skuli ya Msingi ya Kwale mara baada ya ufunguzi wa shule hiyo leo
tarehe 09 Januari 2023 ikiwa ni miongoni mwa shamrashamra za Miaka 59 ya
Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akipokea zawadi ya mavazi yanayovaliwa Kisiwani
Pemba kutoka kwa Waziri wa Elimu na
Mafunzo ya Amali wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Lela Muhammed Mussa mara
baada ya Ufunguzi rasmi wa Skuli ya Msingi ya Kwale iliopo Wilaya ya Chakechake
Mkoa wa Kusini Pemba leo tarehe 09 Januari 2023 ikiwa ni miongoni mwa
shamrashamra za Miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akipokea zawadi ya mavazi yanayovaliwa Kisiwani
Pemba kutoka kwa Waziri wa Elimu na
Mafunzo ya Amali wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Lela Muhammed Mussa mara
baada ya Ufunguzi rasmi wa Skuli ya Msingi ya Kwale iliopo Wilaya ya Chakechake
Mkoa wa Kusini Pemba leo tarehe 09 Januari 2023 ikiwa ni miongoni mwa
shamrashamra za Miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
No comments:
Post a Comment