Mshambuliaji wa Timu ya Singida Big Star akiwapita mabeki wa Timu ya Azam wakati wa mchezo wao wa Nusu Fainali ya Kombe la Mapinduzi uliochezwa jana usiku 8-1-2023, na kuipatia Timu yake ya Singida mabao 4 yote ameyafunga yeye katika mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.Timu ya Singida Big Star imeshinda bao 4-1
TET NA TANZANIA AI COMMUNITY KUSHIRIKIANA KUBORESHA UFUNDISHAJI KWA
TEKNOLOJIA YA AI
-
TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imepanga kufanya mafunzo ya kukuza uwezo
kwa wakuza mitaala na walimu nchini kwa kutumia Akili Mnemba (AI) ili
kukuza ufani...
16 minutes ago
No comments:
Post a Comment