Mshambuliaji wa Timu ya Singida Big Star akiwapita mabeki wa Timu ya Azam wakati wa mchezo wao wa Nusu Fainali ya Kombe la Mapinduzi uliochezwa jana usiku 8-1-2023, na kuipatia Timu yake ya Singida mabao 4 yote ameyafunga yeye katika mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.Timu ya Singida Big Star imeshinda bao 4-1
TAMASHA LA UTALII NA UWEKEZAJI KISIWA CHA MAFIA LAZINDULIWA
-
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani
SERIKALI Mkoani Pwani, imedhamiria kufungua Kisiwa cha Mafia katika nyanja
ya Uchumi wa Bluu pamoja na kukitangaza ulimwenguni ...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment