Mshambuliaji wa Timu ya Singida Big Star akiwapita mabeki wa Timu ya Azam wakati wa mchezo wao wa Nusu Fainali ya Kombe la Mapinduzi uliochezwa jana usiku 8-1-2023, na kuipatia Timu yake ya Singida mabao 4 yote ameyafunga yeye katika mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.Timu ya Singida Big Star imeshinda bao 4-1
LUKUVI AMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUZIDI KUMUAMINI
-
Na. Mwandishi Wetu-DODOMA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu
Mhe. Willium Lukuvi amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muu...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment