Mshambuliaji wa Timu ya Singida Big Star akiwapita mabeki wa Timu ya Azam wakati wa mchezo wao wa Nusu Fainali ya Kombe la Mapinduzi uliochezwa jana usiku 8-1-2023, na kuipatia Timu yake ya Singida mabao 4 yote ameyafunga yeye katika mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.Timu ya Singida Big Star imeshinda bao 4-1
HUYU NDIYE UGIN MKINGA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MADABA
-
Ruvuma.
Ugin Mkinga ni jina jipya lenye mvuto mkubwa katika anga ya siasa ya
Tanzania, hasa kwa wale wanaofuatilia mustakabali wa maendeleo ya Jimbo la ...
21 minutes ago
No comments:
Post a Comment