Habari za Punde

Michuano wa 17 Kombe la Mapinduzi wa Nusu Fainali Kati ya Azam na Singida Big Star Uliofanyika Uwanja wa Amaan Timu ya Singida Imeshinda kwa Bao 4--1

Mshambuliaji wa Timu ya Singida Big Star akiwapita mabeki wa Timu ya Azam wakati wa mchezo wao wa Nusu Fainali ya Kombe la Mapinduzi uliochezwa jana usiku 8-1-2023, na kuipatia Timu yake ya Singida mabao 4 yote ameyafunga yeye katika mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.Timu ya Singida Big Star imeshinda bao 4-1
















 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.