Mshambuliaji wa Timu ya Singida Big Star akiwapita mabeki wa Timu ya Azam wakati wa mchezo wao wa Nusu Fainali ya Kombe la Mapinduzi uliochezwa jana usiku 8-1-2023, na kuipatia Timu yake ya Singida mabao 4 yote ameyafunga yeye katika mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.Timu ya Singida Big Star imeshinda bao 4-1
MUDY PESA AMKAMIA MANCHUGA PAMBANO LA KILL BOXING TOUR
-
Na. Khadija Seif, Michuzi TV
Bondia wa Ngumi za Kulipwa nchini, Mudy Pesa maarufu ‘Misumari ya Zege’
amechimba mkwara kuelekea pambano lake la ndondi dhi...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment