Mchezaji wa Timu ya Aigle Noir kutika Nchini Burundi akijaribu kumpita beki wa Timu ya Namungo,wakati wa mchezo wao wa Kombe la Mapinduzi uliofanyika Uwanja wa Amaan Unguja Timu ya Namungi imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
Goli la Timu ya Namungo lilifunga katika kipindi cha pili cha mchezo katika dakika 62 na mchezaji Hassan Kabunda.
No comments:
Post a Comment