Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Kansela wa Ujerumani Mhe. Olaf Scholz, Davos nchini Uswizi tarehe 18 Januari, 2023.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye
mazungumzo na Mwenyekiti Mtendaji ambaye pia ni Mwazilishi wa Jukwaa la Uchumi
Duniani (WEF) Profesa Klaus Schwab Mjini Davos nchini Uswizi
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi
kutoka kwa Mwenyekiti Mtendaji ambaye pia ni Mwazilishi wa Jukwaa la Uchumi
Duniani Profesa Klaus Schwab mara baada ya mazungumzo Mjini Davos nchini Uswizi
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye
mazungumzo na Rais wa Poland Mhe. Andrzej Duda, Davos nchini Uswizi
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha
ya pamoja na Rais wa Poland Mhe. Andrzej Duda mara baada ya mazungumzo Davos
nchini Uswizi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Rais wa Poland Mhe. Andrzej Duda mara baada ya mazungumzo Davos nchini Uswizi tarehe 18 Januari, 2023.
PICHA NA IKULU.
No comments:
Post a Comment